FUSE ODG ATUA JIJINI DAR LEO




Mkali wa Azonto na antena 'Nana Richard Abiona' aka Fuse ODG amewasili leo 6 Sept majira ya saa tisa usiku katika uwanja wa ndege wa kimataifa Mwl.J.K Nyerere.


Fuse ODG anatarajia kutoa burudani kali siku ya tarehe 7 Sept kesho katika viwanja vya Ustawi wa Jamii




KWA HABARI ZAIDI BOFYA OLDER POSTS

0 komentar:

Post a Comment

Blog Archive